Back to top

Makandarasi wanne wabainika kutoa taarifa za uongo TARURA

05 November 2019
Share

Serikali ya mkoa wa Mtwara imesema itaendelea kuwachuja makandarasi wa ujenzi wa barabara ambao ni wababaishaji ambapo kwa mwaka 2019/2020 makandarasi wanne wamebainika kutoa taarifa za uongo kwa wakala  wa ujenzi wa barabara za mjini na vijijini (TARURA)  ili kupewa kazi.