Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe.Geophrey Pinda, amesema kuwa hakuna afisa Ardhi atakayehamishwa eneo la kazi, endapo atakiuka maadili ya utendaji wa taaluma yake.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe.Geophrey Pinda, amesema kuwa hakuna afisa Ardhi atakayehamishwa eneo la kazi, endapo atakiuka maadili ya utendaji wa taaluma yake.