Back to top

News

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt.Emmanuel Nchimbi, amesema urafiki kati ya CCM na Prosperity Party, chama Tawala cha Ethiopia, ni hatua muhimu katika kuboresha na kuimarisha uhusiano wa nchi hizo mbili, pamoja na watu wake.