Back to top

News

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe.Abdallah Ulega, amewatembelea wavuvi wa Ziwa Nyasa, na kukagua shughuli mbalimbali wanazozifanya, ikiwemo ukaushaji wa dagaa kwa kutumia vichanja, na sio kuanika chini kama ilivyokuwa zamani.