Back to top

Juventus watolewa michuano ya UEFA Champions League.

10 March 2021
Share

Licha ya ushindi wa Juventus wa bao 3-2 hapo jana  dhidi ya FC Porto bado qametolewa  kwenye michuano ya Ulaya UEFA Champions League.
.
Juventus wametolewa kwa matokeo ya bao la ugenini baada ya jumla ya matokeo yao katika mechi na Porto ni sare ya bao 4-4 na Porto wakiongoza kwa kuwa na mabao 2 ya ugenini.
.
Juventus sasa wanatolewa na kushindwa kutimiza malengo yao ya kutwaa UEFA tangu mwaka 1996.