Back to top

Polisi Katavi wakamata mtambo wa kutengeneza silaha.

11 March 2020
Share

PICHA_NA_MAKTABA

Jeshi la polisi mkoa wa Katavi limekamata mtambo wa kutengeneza  magobore zikiwemo gobore sita  katika kijiji cha Busongola kata ya Bulamata wilaya ya Tanganyika.

Kamanda wa polisi mkoa wa Katavi Kamishna Msaidizi wa polisi Benjamin Kuzaga amesema mtuhumiwa huyo pia alikamatwa na ngozi ya nyati.