Back to top

News

Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kimelaani vikali kitendo cha kuzuiliwa kwa Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe.Tundu Lissu, kuingia nchini Angola, ambako alipaswa kushiriki mkutano muhimu kuhusu masuala ya Demokrasia