Back to top

News

Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini zimeleta athari katika jimbo la Kavuu ,lililopo katika Halmashauri ya Mpimbwe, wilaya ya Mlele ,mkoa wa Katavi, ambapo mvua hizo zimekata mawasiliano katika madaraja ya mto Msadya pamoja na daraja la Mto Kibaoni ,katika Halmashauri ya Mpimbwe.