Back to top

Zelensky: Mazungumzo yakifeli ni vita ya tatu ya dunia

21 March 2022
Share

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kuwa anaamini kushindwa kufanikiwa kwa mazungumzo ya kumaliza uvamizi wa Urusi kutamaanisha "vita ya tatu ya dunia" ambapo akizungumza na CNN Zelensky alisema yuko tayari kuzungumza moja kwa moja na Rais wa Urusi Vladimir Putin huku akiongeza kuwa anaamini kuwa mazungumzo ndiyo njia pekee ya kumaliza mapigano.