Back to top

Wanaoishi mabondeni wilaya ya Kilwa watakiwa kuondoka

30 January 2020
Share

Mkuu wa wilaya ya Kilwa mkoani Lindi,Bw.Christopher Ngubiagai, amewataka wananchi wilayani humo,ambao bado wako mashambani maeneo ya mabondeni kuondoka mara moja katika maeneo hayo kwani mvua zinanyesha bado na zitaendelea kunyesha kwenye maeneo mbalimbali wilayani Kilwa.